Tuesday 4 November 2014

EPL: BAADA YA CHRIS SMALLING KUITWA BWEGE NA VAN GAAL SASA ATANIWA NA VIRGIN TRAINS


Baada ya dogo Chris Smalling kuchemsha na kusababisha timu yake ifungwe na Manchester City kwa kufanya foul ya kizembe na kutokewa nje na baadae kocha Van Gaal kumwita Smalling 'Bwege' au kwa jina lingine 'Juha' sasa moja ya kampuni ya usafiri ya Uingereza ya Virgin Trains ambao wana treni nyingi wameamua kumtania Smalling kutokana na uzembe aliofanya uwanjani...Eti wanasema kwenye tweeter page yao kwamba ticket za kwenda London zipo!...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment