Sunday 30 November 2014

EPL: DAVID BECKHAM AUMIA KWENYE AJALI


Star wa mpira wa miguu wa zamani na captain wa zamani wa England David Beckham ameumia kwenye ajali baada ya kutoka kumchumua mtoto wake Brooklyn kwenye uwanja wa mazoezi wa Arsenal...


Beckham alipokuwa anatoka kwenye sehemu ya maegesho ya magari aligongana na gari nyingine iliyokuwa inatoka upande wa 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment