Novac Djokovic ambae ni bingwa wa dunia amechapa bingwa wa US Open Marin Cilic kwenye michuano ya mabingwa ya Word Tour Finals ya kumalizia msimu wa professional tennis duniani...Cilic alitwangwa 6-1 6-1 katika ukumbi wa O2 Arena na mechi ilitumia dakika 56 tu...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 11 November 2014
WORLD TOUR FINALS: DJOKOVIC MTWANGA CILIC
Novac Djokovic ambae ni bingwa wa dunia amechapa bingwa wa US Open Marin Cilic kwenye michuano ya mabingwa ya Word Tour Finals ya kumalizia msimu wa professional tennis duniani...Cilic alitwangwa 6-1 6-1 katika ukumbi wa O2 Arena na mechi ilitumia dakika 56 tu...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment