Bingwa wa dunia katika tennis Novak Djokovic amechapa vibaya sana Stan Wawrinka katika michuano ya mabingwa wa tennis duniani ya World Tour Finals...Wawrinka akichapwa 6-3 6-0 katika mechi ambayo bingwa Djokovic alikuwa anatawala...Djokovic sasa ameshinda mechi 29 mfululizo katika kumbi za indoor na hajawahi kupoteza mechi ndani ya O2 Arena...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 13 November 2014
WORLD TOUR FINALS: DJOKOVIC AMGARAGAZA WAWRINKA
Bingwa wa dunia katika tennis Novak Djokovic amechapa vibaya sana Stan Wawrinka katika michuano ya mabingwa wa tennis duniani ya World Tour Finals...Wawrinka akichapwa 6-3 6-0 katika mechi ambayo bingwa Djokovic alikuwa anatawala...Djokovic sasa ameshinda mechi 29 mfululizo katika kumbi za indoor na hajawahi kupoteza mechi ndani ya O2 Arena...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment