Saturday 8 November 2014

THE BLACK STARS: AVRAM GRANT KOCHA MTARJIWA GHANA


Aliyekuwa kocha wa Chelsea Avram Grant anatarjiwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Ghana the Black Stars...Avram akikubaliana na shirikisho la soka la Ghana (GFA) kwenye masuala ya pesa atasaini mkataba na kuisaidia Ghana...Shirikisho la soka la Ghana limesema kati ya makocha, Juan Ignacio Martinez na Michel Pont aliyekuwa msaidizi wa timu ya Switzerland, wanamtaka Grant anayetokea Israel...Grant aliwapeleka Chelse mpaka fainali ya Euro Champions League 2008 na alikuwa kocha wa timu ya taifa ya Israel kwa miaka 4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment