Arsenal wako karibu kufuzu kuingia 16 bora ya Champions League lakini walichemsha jana kwani walikuwa mbele magoli 3 na Anderlecht wakarudisha yote 3 ndani ya dakika 29...Bao 1 lilitoka kwa Arteta kwa njia ya penalty, la 2 kutoka kwa Alexis Sanchez kwa mkwaju mkali wa volley kutoka yadi 20 na la 3 kutoka kwa Oxlade-Chamberlain...Sasa Arsenal wanahitaji point 1 tu ili waweze kuingia 16 bora na bado wana game na Dortmund November 26 na Galatasaray December 9...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 5 November 2014
CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL WAACHIA MAGOLI NA KUTOA DRAW
Arsenal wako karibu kufuzu kuingia 16 bora ya Champions League lakini walichemsha jana kwani walikuwa mbele magoli 3 na Anderlecht wakarudisha yote 3 ndani ya dakika 29...Bao 1 lilitoka kwa Arteta kwa njia ya penalty, la 2 kutoka kwa Alexis Sanchez kwa mkwaju mkali wa volley kutoka yadi 20 na la 3 kutoka kwa Oxlade-Chamberlain...Sasa Arsenal wanahitaji point 1 tu ili waweze kuingia 16 bora na bado wana game na Dortmund November 26 na Galatasaray December 9...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment