Wednesday 5 November 2014

CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL WAACHIA MAGOLI NA KUTOA DRAW


Arsenal wako karibu kufuzu kuingia 16 bora ya Champions League lakini walichemsha jana kwani walikuwa mbele magoli 3 na Anderlecht wakarudisha yote 3 ndani ya dakika 29...Bao 1 lilitoka kwa Arteta kwa njia ya penalty, la 2 kutoka kwa Alexis Sanchez kwa mkwaju mkali wa volley kutoka yadi 20 na la 3 kutoka kwa Oxlade-Chamberlain...Sasa Arsenal wanahitaji point 1 tu ili waweze kuingia 16 bora na bado wana game na Dortmund November 26 na Galatasaray December 9...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment