Monday 17 November 2014

EPL: DI MARIA ACHOSHWA NA MAN UNITED ATAKA KUSEPA


Angel Di Maria anataka kuondoka Manchester United mapema maana anaona mambo hayaendi vizuri Old Trafford...Habari hizi zinatoka kwenye gazeti la The Daily Star...Chelsea wanamtolea macho kutokana na PSG kushindwa issue za pesa za kwenye mkataba wa Di Maria...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment