Dirk Nowitzki mjerumani amekuwa mchezaji mwenye magoli mengi kwenye NBA kwa wale ambao hawajazaliwa Marekani...Alimpita Hakeem Olajuwon kwenye game kati ya Dallas Mavericks na Sacramento Kings ambayo Mavericks walishinda 106-98...Sasa Nowizki amekuwa mtu wa 9 kwa ufungaji bora kwenye NBA kwa kuwa na points 26,953 na Olajuwon alikusanya points 26,946 katika miaka 18 ya carrier yake...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 18 November 2014
NBA: NOWITZKI AMPITA OLAJUWON
Dirk Nowitzki mjerumani amekuwa mchezaji mwenye magoli mengi kwenye NBA kwa wale ambao hawajazaliwa Marekani...Alimpita Hakeem Olajuwon kwenye game kati ya Dallas Mavericks na Sacramento Kings ambayo Mavericks walishinda 106-98...Sasa Nowizki amekuwa mtu wa 9 kwa ufungaji bora kwenye NBA kwa kuwa na points 26,953 na Olajuwon alikusanya points 26,946 katika miaka 18 ya carrier yake...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment