Wednesday 5 November 2014

QATAR 2022 WORLD CUP: PLATINI ATAKA WORLD CUP IFANYIKE KIPINDI CHA BARIDI


Rais wa Uefa Michel Platini anataka World Cup itakayochezewa huko Qatar mwaka 2022 ifanyike kipindi ambacho hakina joto...Platini amesema joto litawaumiza sana wachezaji World Cup ikifanyika kipindi cha joto ambacho ndio kipindi cha summer kwa maeneo mengi ya kaskazini mwa Equator...Clubs nyingi zimesema ratiba ikibadilika itaharibu utaratibu wa mambo mengi lakini Platini amesena clubs hazichezi ila wachezaji ndio wanaocheza na hawawezi kucheza wakati joto liko centigrade 40...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment