Friday 28 November 2014

EPL: ARSENAL KUMPOTEZA WILSHERE MIEZI 3


Jack Wilshere atakuwa nje kwa muda usiopungua wiki 3...Wilshere aliumia katika gaame dhidi ya Manchester United alipokwatuliwa na beki ya United Paddy McNair...Wilshere alimwona daktari na akafanyiwa upasuaji kwenye ankle Jumanne...Habari hii sio nzuri kwa Arsenal kwani kwa sasa wanapungukiwa na wachezaji kutokana na majeraha mengi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment