LA Clippers yanunuliwa na aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa zamani wa Microsoft, Steve Ballmer, kwa billioni 2 dola za Marekani....Steve Ballmer ana BA ya Hisabati na Uchumi kutoka Harvard...Aliingia Microsoft 1980...Alikuwa CEO wa Microsoft 2000-2014...Bid ya Ballmer ilikuwa kubwa kuliko za wengine waliotaka kuinunua Clippers...Kwa bei ya billioni 2 Ballmer atakuwae tajiri mmiliki wa timu kuliko wengi marekani...Kwa ujumla Steve Ballmer anathamani ya bilioni 20...Bofya hapa upate mamb zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 30 May 2014
NBA: LA CLIPPERS YANUNULIWA NA MKURUGENZI WA ZAMANI WA MICROSOFT
LA Clippers yanunuliwa na aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa zamani wa Microsoft, Steve Ballmer, kwa billioni 2 dola za Marekani....Steve Ballmer ana BA ya Hisabati na Uchumi kutoka Harvard...Aliingia Microsoft 1980...Alikuwa CEO wa Microsoft 2000-2014...Bid ya Ballmer ilikuwa kubwa kuliko za wengine waliotaka kuinunua Clippers...Kwa bei ya billioni 2 Ballmer atakuwae tajiri mmiliki wa timu kuliko wengi marekani...Kwa ujumla Steve Ballmer anathamani ya bilioni 20...Bofya hapa upate mamb zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment