Friday 30 May 2014

NBA: LA CLIPPERS YANUNULIWA NA MKURUGENZI WA ZAMANI WA MICROSOFT


LA Clippers yanunuliwa na aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa zamani wa Microsoft, Steve Ballmer, kwa billioni 2 dola za Marekani....Steve Ballmer ana BA ya Hisabati na Uchumi kutoka Harvard...Aliingia Microsoft 1980...Alikuwa CEO wa Microsoft 2000-2014...Bid ya Ballmer ilikuwa kubwa kuliko za wengine waliotaka kuinunua Clippers...Kwa bei ya billioni 2 Ballmer atakuwae tajiri mmiliki wa timu kuliko wengi marekani...Kwa ujumla Steve Ballmer anathamani ya bilioni 20...Bofya hapa upate mamb zaidi...

No comments:

Post a Comment