Monday 26 May 2014

EPL: QPR WARUDI PREMIERSHIP


QPR wamerudi tena Premiership baada ya kuwachapa Derby 1-0...Kikosi cha watu 10 kiliweza kupata goli moja tu ambalo liliwawezesha kurudi kwenye top-flight football...Zamora dakika za mwisho ndiye aliyepachika bao bada ya beki Richard Keogh kufanya kosa...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment