Monday 12 May 2014

WORLD CUP 2014: GHANA YATAJA KIKOSI CHAKE CHA AWALI




Kocha wa timu ya taifa ya Ghana, Kwesi Appiah, ametaja kikosi chake cha awali cha wachezaji 26 lakini atakipunguza mpaka 23...Watu wengine kama masupa staa John Mensah na Isaac Vorsah wametemwa na kuingizwa madogo wengine wakali...Michael Essien ameingizwa kwenye squad baada ya kukosa World Cup ya 2010 kutokana na kuumia...Dogo mmoja kutoka club moja ya Sweden, Helsingborg, David Accam amechaguliwa kuingia kwenye squad...Dogo mwingine kutola Leister City ambaye alizaliwa Ujerumani, Jeffrey Shlupp, pia ameingizwa kwenye squad...Ghana itaanza tizi kuanzia tarehe 20 na badae watasafiri kwenda Uholanzi kucheza na timu ya taifa ya Uholanzi katika mechi ya kirafiki...Squad ya Ghana hiyo hapo chini...

Goalkeepers: Fatau Dauda (Orlando Pirates), Adam Kwarasey (Stromsgodset), Stephen Adams (Aduana Stars).
Defenders: Samuel Inkoom (Platanias), Daniel Opare (Standard Liege), Harrison Afful (Esperance), Jeffrey Schlupp (Leicester), John Boye (Rennes), Jonathan Mensah (Evian), Jerry Akaminko (Kisehirspor), Rashid Sumalia (Mamelodi Sundowns).
Midfielders: Michael Essien (AC Milan), Sulley Muntari (AC Milan), Rabiu Mohammed (Kuban Krasnodar), Kwadwo Asamoah (Juventus), Emmanuel Agyemang-Badu (Udinese), Afriyie Acquah (Parma), Christian Atsu (Vitesse), Albert Adomah (Middlesbrough), Andre Ayew (Marseille), Mubarak Wakaso (Rubin Kazan).
Strikers: Asamoah Gyan (Al Ain), Kevin-Prince Boateng (Schalke 04), Abdul Majeed Waris (Valenciennes), Jordan Ayew (Sochaux), David Accam (Helsingborg).

No comments:

Post a Comment