Wednesday 14 May 2014

WORLD CUP 2014: BRAZUCA MPIRA MPYA KUTOKA ADIDAS


Brazuca ni mpira mpya ambao utakuwa unatumika huko Brazil kwenye World Cup muda si mrefu....Brazuca ni mpira wa 12 wa World Cup kutengenezwa na Adidas...Adidas walipata wakati mgumu sana World Cup iliyopita huko South Africa baada ya mpira wao ambao ulijulikana kwa jina la Jabulani ulipigwa vita sana kutokana na kubadilisha mwendo ukiwa angani...


Brazuca sasa umeimarisha sana na mkurugenzi wa mpira wa miguu wa Adidas amesema kuwa majaribio yameonyesha mpira uko safi na unafuata unapipigwa...Brazuka umetengenezwa na vinundu vidogo vingi ili kusaidia mwendo wake ukiwa hewani...Bofya hapa upate habari zaidi za mpira mpya kabisa Brazuca.....

No comments:

Post a Comment