Thursday 29 May 2014

EPL: WENGER AKINGIWA KIFUA KUTUMIA PESA NYINGI



Arsene Wenger atkubaliwa kutumia pesa nyingi katika msimu wa usajili ingaawa Wenger sio mtu wa kutoa pesa nyingi kununua wachezaji...Rekodi ya Arsenal ni milioni 42.5 pounds za Uingereza kumnunua Mesut Ozil...Director Lord Harris kutoka Peckham aliwaambia gazeti la Times kwamba Arsene Wenger anaweza kuvunja rekodi ya kununua wachezaji msimu unaokuja...Pia bado Wenger hajasaini mkataba mpya na club lakini atasaini muda si mrefu...Bofya hapa upate mambo zaidi...

No comments:

Post a Comment