Monday 26 May 2014

NBA: IBAKA ARUDI KUISAIDIA OKC


Serge Ibaka ameamua kurudi kwenye Game 3 baada ya kuwa nje kutokana na kuumia...OKC walishinda Game 3 dhidi ya Spurs 106-97...Sasa Spurs wanaongoza kwa game 2 na OKC wameshinda 1...Ibaka alifanya vizuri kwenye Game 3 alipata points 15, rebounds 7 na blocks 4...Alitumia dakika 29 tu kufanya mambos...OKC walikuwa wanamhitaji sana Ibaka maana maji yalikuwa shingoni...Durant alipata points 25 na rebounds 10 wakati Westbrook alipata points 26, rebounds 8, assists 7 na steals 3...Pata mambo yalivyo kwenda mwanzo mwisho.

No comments:

Post a Comment