Monday 12 May 2014

NBA: CLIPPERS WATOKA NYUMA NA KUWASHANGAZA OKC



LA Clippers timu ambayo imekuwa kwenye vyombo vya habari sana msimu huu kwa uchezaji bora na mmiliki wao kutimuliwa kwenye shughuli zote za NBA wameshangaza mashabiki na wadau kwa kushinda game yao dhidi ya Oklahoma City 101-99...Game ilikuwa kali sana lakini nusu ya kwanza OKC waliweza kuwamudu Clippers hasa Russell Westbrook alikuwa moto akisaidiwa na MVP Kevin Durant ambaye alipata pointi 40 na Ibaka...


Kipindi cha pili kiliona OKC wakiongoza kwa pointi 22 lakini Blake Griffin aliweza kusaidia na kupunguza hiyo gap mpaka ikafikia pointi 10...Griffing alimaliza game akiwa na pointi 25 na rebounds 9...Clippers kupitia Darren Collison waliweza kupunguza gap mpaka pointi 1 dakika za mwisho...Darren alipata point 18 na 8 kati ya hizo zilikuja mwishini...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment