Monday 12 May 2014

F1: LEWIS HAMILTON ASHINDA SPANISH GP


Lewis Hamilton alifanikiwa kushinda shindano lake la nne kwa kuchukua Spanish GP...Lewis alichukua nafasi ya kwanza kwenye grid na kona ya kwanza aliweza kuchomoka na kuwaacha mbali wenzake akiwemo dereva Nico Rosberg ambaye wako wote timu moja...


Hamilton aliongoza mwanzo mwisho lakini mwenzake Nico alimkaribia lakini hakuweza kumkamata...Nico likuwa wa 2 akifuatiwa na Ricciardo wa 3 na mwenzake kutoka Red Bull Sebastian Vettel alikuwa wa 4...


Vettel alitoka wa 15 kapambana hadi kamaliza wa 4...Bofya upate habari za f1 hapa...   

No comments:

Post a Comment