Wednesday 14 May 2014

WORLD CUP 2014: UFARANSA YATAJA KIKOSI NA NASRI HAYUPO


Didier Deschamps ametaja kikosi chake cha World Cup...Katika hicho kikosi Samir Nasri ametemwa pamoja na Gael Clichy...Kocha huyo anasema Nasri ni mzuri akiwa na Man City lakini sio mzuri akichezea timu ya Ufaransa...Wachezaji 23 wamechaguliwa na kati ya hao 9 wanachezea ligi ya Uingereza...Wachezaji watatu wanatokea Arsenal FC...Hebu soma hiyo squad hapo chini...


Goalkeepers: Hugo Lloris (Tottenham Hotspur), Steve Mandanda (Marseille), Mickael Landreau (Bastia).
Defenders: Mathieu Debuchy (Newcastle), Lucas Digne (Paris St-Germain) Patrice Evra (Manchester United), Laurent Koscielny, Bacary Sagna (both Arsenal), Eliaquim Mangala (Porto), Mamadou Sakho (Liverpool), Raphael Varane (Real Madrid).
Midfielders: Yohan Cabaye, Blaise Matuidi (both Paris St-Germain), Clement Grenier (Lyon), Rio Mavuba (Lille), Paul Pogba (Juventus), Moussa Sissoko (Newcastle), Mathieu Valbuena (Marseille).
Forwards: Karim Benzema (Real Madrid), Olivier Giroud (Arsenal), Antoine Griezmann (Real Sociedad), Loic Remy (Newastle, on loan from QPR), Franck Ribery (Bayern Munich), Stephane Ruffier (Monaco).
Standby: Loic Perrin (St Etienne), Maxime Gonalons, Alexandre Lacazette (both Lyon), Morgan Schneiderlin (Southampton), Benoit Tremoulinas (Dynamo Kiev), Remy Cabella (Montpellier).

No comments:

Post a Comment