Thursday 15 May 2014

ITALIAN OPEN: ROGER FEDERER ACHAPWA


Bingwa wa zamani wa tennis amechapwa 1-6, 6-3, 7-6 (8-6) na Jeremy Chardy huko Rome Italy....Kichapo hiki kinakuja baada ya kupumzika kidogo kutokana na mke wake kujifungua mapacha...Ilikuwa asicheze lakini mke wake alimlazimisha na akakubali...Kuna wakati seti ya mwisho ilikuwa ashinde tie-break lakini alizidiwa na forehand kali ya Jeremy...Djokovic nae karibu achapwe lakini alijitahidi na kushinda...Wengine walioshinda ni Thomas Berdych, Serena Williams na Maria Sharapova...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment