Monday 26 May 2014

AFRICA YOUTH GAMES: TANZANIA YAICHAPA BOTSWANA


Tanzania inaendelea vizuri kwenye mashndao ya vijana ya Afrika huko Gabarone Botswana...Timu ya Tanzania U-15 aliichapa Bostwana 2-0 katika uwanja wa SSKB...Vijana wa Tanzania walicheza vizuri sana na game inayofuata ni dhidi ya Swaziland na Nigeria Jumanne na watamalizia na South Africa Alhamisi...Haya mashindano yanahusisha wanamichezo 2,500 kutoka nchi 54 kwa siku kumi...

No comments:

Post a Comment