Tuesday 13 May 2014

EPL: RIO FERDINAND KUONDOKA MANCHESTER UNITED


Rio Ferdinand beki machachari wa Manchester United anafunga virago muda si mrefu baada yakuitumikia timu ya Manchester United miaka 12...Ameamua kuondoka baada ya club kutompa mkataba mwingine...Aliombwa abaki kama balozi wa timu lakini ameamua kuondoka na kutafuta issue nyingine...Ferdinand amekaa Man U miaka 12 na kati ya hiyo amepata magoli 8 na ameingia uwanjani mara 454...Tweet kutoka club ya Man United #mufc inamshukuru kwa utumishi wake na inamtakia heri huko atapoenda...Bofya hapa upate habari zaidi..

No comments:

Post a Comment