Tuesday 20 May 2014

TENNIS: WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA BALTACHA



Watu zaidi ya 300 wamehudhuria msiba na mazishi ya aliyekuwa bingwa wa tennis Uingereza kipindi cha nyuma Elena Baltacha...Baltacha alifariki akiwa na umri wa miaka 30 kutokana na Cancer ya Ini...

Bingwa wa tennis Uingereza Laura Robson

Msiba huu ulikuwa huko Ipswich huko Uingereza ambako alianzisha Academy ya watoto ya tennis...

Tim Henman bingwa wa zamani wa tennis Uingereza

wengine walikuhudhuria walikuwa Tim Henman bingwa wa tennis wa Uingereza na namba 1 wa tennis wa sasa Uingereza Laura Robson...Pata habari zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment