Wednesday 21 May 2014

NBA: LeBRON NA HEAT WASHINDA GAME 2 YA FAINALI YA MASHARIKI


LeBron James ameweza kuisaidia timu yake iweze kuichapa Indiana Pacers kwenye game ya 2 ya fainali za conference ya mashriki...Game ilimalizika 87-83...Kuna wakati Heat walikuwa juu 12-2 baada ya James kudumbukiza point 6...James alipata pointi 22 na 12 kati ya hizo zilikuwa robo ya mwisho wa mchezo...Wade alipata pointi 23...Kutoka Pacers Lance Stephenson alipata pointi 25 na Paul George pointi 14...Sasa timu ziko sare na game 3 itkuwa jumamosi huko Mimi...Usikose kuicheki....

No comments:

Post a Comment