Friday 9 May 2014

EPL: JOSE APIGWA FAINI


Kocha wa Chelsea FC, Jose Mourinho, amepigwa faini ya £10,000...Hii ni kutokana na kauli yake aliyetoa kwa refa wa mchezo kati ya Chelsea na Sunderland ambapo Chelsea ilifungwa 2-1...Mourinho anasema alienda kupongeza refa lakini baada ya hapo hali ya hewa ilichafuka kidogo...Hii ni faini ya pili nyingine ni £8,000 ambayo ameshindwa kuizuia ilikuwa  katika mechi ya Chelsea na Aston Vlla pia Chelsea walifungwa 1-0...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment