Tuesday 6 May 2014

ATHLETICS: DOMINIQUE BLAKE APUNGUZIWA ADHABU


Dominique Blake mkimbiaji mzoefu na mkali kutoka Jamaica alisimamishwa kukimbia baada ya kupatikana na hatia ya kutumia madawa ya kuongeza nguvu na kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 6 sasa hiyo adhabu imepunguzwa hadi miaka 4 1/2 na mahakama ya usulihishi wa michezo (Court of Arbitration of Sport - CAS)...Blake ambaye ana miaka 26 alikutwa na methylhexanamine ndani ya mwili wake katika Olympics za 2012... 

No comments:

Post a Comment