Saturday 10 May 2014

F1: MERCEDES 1 2 KATIKA PRACTICE YA MWISHO


Hivi punde tu Nico Rosberg na Lewis Hamilton wamemaliza qualifying practice ya mwisho wakiongoza grid ya kesho huko Spain...Lewis alikuwa mbele ya Alonzo wa Ferrari sekunde 0.432 ambaye amekuwa wa 3 akifuatiwa na Massa wa 4 na Grosjean wa 5...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment