Friday 23 May 2014

NBA: MSIMU WA KUCHAGUA VIJANA KUTOKA VYUO VIKUU

NBA draft ni tukio la kila mwaka ambalo vijana wakali sana kwenye basketball na wanaotaka kuinga NBA wanachaguliwa na kusajiliwa na NBA...Lakini lazima wamalize miaka minne ya shule ili waweze kukubaliwa kama hawataki basi itabidi wakubali kuacha shule na kusajiliwa NBA...Timu zinazosajili zinapangwa kutokana na jinsi zilivyo fanya msimu uliopita....Timu zilizofnya vibaya vinapewa nafasi kubwa ya kuchagua kwanza ili wapate wachezji wazuri...Hii yote inafanyika kwenye lottery ambayo timu zote ambazo hazijaingia kwenye playoffs zinaingizwa kwenye lottery ambayo ina round 2...Hapo chini ni mpangilio wa timu zitazochagua wachezaji hao wapya round ya kwanza....

 
1. Cleveland Cavaliers
 
2. Milwaukee Bucks
 
3. Philadelphia 76ers
 
4. Orlando Magic
 
5. Utah Jazz
 
6. Boston Celtics
 
7. Los Angeles Lakers
 
8. Sacramento Kings
 
9. Charlotte Hornets
(From Detroit)

 
10. Philadelphia 76ers
(From New Orleans)

 
11. Denver Nuggets
 
12. Orlando Magic
(From New York via Denver)

 
13. Minnesota Timberwolves
 
14. Phoenix Suns
 
15. Atlanta Hawks
 
16. Chicago Bulls
(From Charlotte)

 
17. Boston Celtics
(From Brooklyn)

 
18. Phoenix Suns
(From Washington)

 
19. Chicago Bulls
 
20. Toronto Raptors
 
21. Oklahoma City Thunder
(From Dallas via HOU & LAL)

 
22. Memphis Grizzlies
 
23. Utah Jazz
(From Golden State)

 
24. Charlotte Hornets
(From Portland)

 
25. Houston Rockets
 
26. Miami Heat
 
27. Phoenix Suns
(From Indiana)

 
28. Los Angeles Clippers
 
29. Oklahoma City Thunder
 
30. San Antonio Spurs

No comments:

Post a Comment