Friday 9 May 2014

WOMEN'S WORLD CUP QUALIFIER: ENGLAND YAICHAPA UKRAINE 4-0


England ilifanikiwa kuichapa Ukraine mabao 4-0...Ukraine nchi ambayo sasa inamatatizo makubwa ya kuigawa nchi haikuweza kufua dafu kwa timu ya wanawake ya England huko Shrewsbury Uingereza...England walipata shida sana dakina 40 za mwanzo lakini goli lilipatinana kutoka kwa mshambuliaji Natasha Dowie kwa kichwa safi kabisa...Baada ya hapo Eniola Aluko aliipatia bao England baada tu ya half-time..Dowie aliweza kupachika la 3 na Aluko alimalizia siku na bao la 4...Bofya hapa ufuatilia mambo ya qualifying  

No comments:

Post a Comment