Saturday 10 May 2014

EPL: BRENDAN RODGERS ATABAKIA LIVEROOL


Liverpool wako mbioni kuandaa mkataba mpya wa kocha Brendan Rodgers....Rodgers ataweka saini mwishi wa msimu huu...Amesema hataki kuchanganya mambo na atangoja msimu uishe ndipo atatia saini mkatba mpya endapo utakuwa tayari...Rodgers ameisidia sana Liverpool kwa kuiimarisha na kuifanya iwe na nguvu ya kuwa bingwa....Sasa Liverpool wako chini ya Manchester City kwa pointi 2 wakielekea ukingoni mwa msimu...Bofya hapa upate habari hii zaidi....

No comments:

Post a Comment