Wednesday 21 May 2014

AFRICA YOUTH GAMES: TANZANIA YAPELEKA KIKOSI IMARA CHA VIJANA


Mashindano ya 2 ya vijana Africa yatafanyika Gabarone, Botswana, kuanzia Alhamisi...Tanzania tumepelekeka kikosi imasa sana ambacho kitaingia kwenye mashindano mbali mbali kama soka, riadha na swimming...Afisa wa TFF bwana Boniface Wambura amesema kikosi cha U-15 au wachezaji chini ya umri wa miaka 15 kiko imara sana na kiko tayari kupambana katika haya mashindano...Pia haya mashindano yanachukuliwa kama jaribio la mwisho ambalo litapelewa vijna kwenye Olympics za vijana huko Nanjing China mwaka huu....Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment