Thursday 15 May 2014

EUROPA LEAGUE: SEVILLA BINGWA


Sevilla ni bingwa Europa League...Sevilla wamefanikiwa kuwatoa Benfica kwenye mechi kali sana iliyufanyika huko Turin...Mpaka half-time ilikuwa na mambo yaliendelea hivyo hivyo mpaka mwisho wa muda wa kawaida...Muda ukaongezwa na hakuna aliyefanikiwa kupachika bao...Benfica ilikuwa wawe mbele mwishoni lakini walichemsha...Bingwa sasa ilikuwa apatikane kwa matuta...Kipa wa Sevilla ndio alikuwa staa baada ya kuwakatalia Oscar Cardozo na Rodrigo...Stephane Mbia kutoka QPR kwa mkopo alikuwa makini na kupachika bao...Kevin Gameiro ndio aliepachika bao la ushindi...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment