Thursday 15 May 2014

NBA: LeBRON NA WENZAKE WAITOA NETS


LeBron James amesaidia sana timu yake kuitoa Brooklyn Nets kwenye series katika mechi ngumu ya Game 5 ya michuano ya playoffs...Miami Heat walishinda 96-94...LeBron ambae alipata pointi 29 kwenye hii game alicheza sana defense na kumkabili NBA All-star wa Nets Joe Johnson...Johnson alipata wakati mgumu sana na hata kufanya makosa madogo madogo...Wade na Bosh nao walisaidia sana na Wade alipata career high point 28 kwenye playoffs hizi..Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment