Saturday 10 May 2014

NBA: OKC YAISIMAMISHA CLIPPERS

 

Oklahoma City wameweza kuongoza na kuwa mbele 2-1 game 3 kati ya game 7 zinazotakiwa kuchezwa katika round ya pili ya Playoffs....OKC walishinda 188-112...MVP Kevin Durant alipata points 36 na wenzake wakina Ibaka points 20, Russell Westbrook points 23 na assists 13...Game ilikuwa ngumu sana mpaka robo ya mwisho OKC wakawa moto na Clippers defense ilibaki imechanganyikiwa....Kwa upande wa Clippers Blake Griffin alipata points 34 na Chris Paul alipataa points 21 na assists 16 pia mshindi wa 'sixth man' wa mwaka Jamal Crawford alipata points 20...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment