Friday 9 May 2014

NBA: MIAMI HEAT SASA WAKO MBELE 2-0


Miami Heat sasa wako mbele game 2 baada yakuizamisha tena Brooklyn Nets 94-82 katika game kali kwenye uwanja wa Heat...Nets walikuwa makini sana kurusha na kupata points mapema na waliongoza kwa muda mpaka LeBron na watu wake wakakaza buti na ilipifika half-time walikuwa wamepishana pointi 1...Kipindi cha 3 na cha 4 Miami walipandisha game yao na kutumia uzoefu zaidi katika kufunga na hivyo mipira ilikuwa inamkuta sana Ray Allen...Mwishoni Miami walikuwa mbele sana na wakawa wanajaribu kufunga lakini wanashindwa na hapo wanapata rebounds zote...LeBron akamalizia kwa kuiwahi clock mwishoni...Timu zote ziko safi lakini Net inabedi wajipange sana iliwaweze kushinda....

No comments:

Post a Comment