Thursday 29 May 2014

EPL: MMILIKI WA MANCHESTER UNITED WA AFARIKI



Malcom Glazer amefariki dunia akiwa anamiaka 86...Billionaire Malcom alinunua Manchester United kwa millioni 790 pounds za Uingereza lakini mashabiki hawakumpenda sana kwakuwa timu ilikumbwa na madeni mengi na kukwamisha shughuli nyingi za timu hiyo...Pamoja na kuchukiwa timu ilishinda Premiership 5 na Champions Legue 1 wakati akiwa mmiliki...2006 alipata Stroke na watoto wake wawili ndio walikuwa wanamsaidia katika shughuli zake za kila siku....Bado familia ya Glazer inamiliki asilimia 90% ya Manchester United ambayo kila mtoto wake ana asilimia 10%...Glazer pia alikuwa mmiliki wa timu ya American Football Tampa Bay Buccaneers...Alinunua Tampa Bay kwa millioni 192 dola za Marekani...Aliendelea kununua shares katika makambpuni mbalimbali yakiwemo Tonka, Harley Davidson, Houlihan's restaurants, Zapata Corporation na nyingine nyingi....Glazer ameacha mke na watoto 6 na wajukuu 14...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment