Saturday 24 May 2014

EPL: DAVID LUIZ ANYAKULIWA NA PSG


David Luiz amechukuliwa na Paris St-Germain kwa pound za Uingereza milioni 40...Beki huyu mkali kutoka Brazil alichukuliwa na Chelsea kutoka Benfica mwaka 2011 kwa pound za Uingereza millioni 21.3...Barcelona walikuwa wanataka huyu dogo lakini alishindwa kumchukua...PSG wameamua kutumia msuli wa pesa kumchukua dogo...Ingawa kocha wa Chelsea, Jose, alikuwa hamtumii sana dogo kama kikosi cha kwanza cha mabeki lakini dogo ni mzuri na atawasaidia sana PSG...Bofya hapa upate mambo zaidi...

No comments:

Post a Comment