Sunday 25 May 2014

F1: NICO ROSBERG ASHINDA MONACO GP


Nico Rosberg aibuka mshindi huko Monaco....Rosberg alimshinda Lewis Hamilton na Ricciardo katika mashindano ambayo yalichangaamka badae na yalitoa safety cars mara mbili...

Perez akitoka kwenye gari baada ya kugongwa

Mara ya kwanza ilitokea mwanzoni wakati Button wa McLaren alimgonga Perez wa Force India....Hapo awali Lewis Hamilton alilalamika kuwa mwenzake Nico alicheza foul ili amzuie asiamze mbele ya grid...Lakini wasimamizi walisema ilikuwa bahari mbaya na ni kosa dogo...


Leo waliofanya vizuri ni Nico Rosberg, Lewis Hamilton, Ricciardo na Alonzo...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment