Thursday 29 May 2014

FRENCH OPEN: SERENA WILLIAMS NJE


Serena Williams ametolewa nje ya round ya 2 ya michuano mikali ya French Open baada ya kuchapwa na dogo Garbine Muguruza 6-2 6-2...Serena anamfuata dada yake Venus Willims aliyetolewa na Ana Schmiedlova 2-6 6-3 6-4...Sasa Muguruza mwenye miaka 20 ataakutaanaa na Schmiedlova kwenye round ya 3 ya michuano hiyo mikali sana...Hii ni mara ya kwanza kwenye historia Serena anatolewa mapema kwenye mechi kubwa Grand Slam...Hapo awali mkali mwingine Li-Na aliga mashindano mapema...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment