Wednesday 21 May 2014

F1: BINGWA WA F1 WA ZAMANI AFARIKI


Sir Jack Brabham amefariki akiwa na umri wa miaka 88...Sir Brabham alikuwa bingwa wa mashindano ya F1 mara tatu miaka ya 1959, 1960 na 1966...Alikuwa ni mtu pekee aliyewahi kushinda mashindano haya makubwa kwa kutumia gari aliyoitengeneza mwenyewe...


Mpaka leo hakuna mtu ambae amedesign, ametengeneza na kuendesha gari yake na kushinda...Hiyo gari ilikuwa na engine nyuma na iliiywa BT-19...


Sir Brabham anatokea Australia na huko ndio alipoanza kuendesha magari ya mashindano baada ya kuacha kazi jeshi la anga akiwa kama fundi wa ndege...Wadau wa F1 duniani wamesikitika na habari hizi...Max Sports inamtakia apumzike kwa amani...Bofya usome zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment