Indiana Pacers wamejitahidi na kushinda game 5...Pacers walishinda 93-90...Miami walikuwa nyuma points 11 kipindi cha robo ya mwisho (4th quarter) lakini walicheza vizuri sana na kurudisha magoli mpaka wakawa point 1 tu nyuma...Wade alisaidia sana Miami kurudisha magoli...Pacers walikomaa mpaka dakika ya mwisho...Paul George ndio aliwainua sana Pacers na alimaliza na points 37....Sasa inabidi Pacers washinde game 6 kama kweli wanataka kuchukua ubingwa...Bofya hapa upate habari zaidi...
No comments:
Post a Comment