Tuesday 27 May 2014

FRENCH OPEN: DJOKOVIC ASONGA MBELE


Novac Djokovic amesonga mbele kwenye round ya kwanza ya michuano mikali ya French Open...Mechi iliyochukua saa 1 na dakika 46 Djokovic ambae ni Namba 2 duniani kwenye rankings za French Open aliweza kumshinda Joao Sousa 6-1 6-2 6-4 huko Rolan Garos...Raael Nadal pia aliweza kushinda mechi yake ya round ya kwanza dhidi ya Robby Ginepri kutoka Marekani....

No comments:

Post a Comment