Wednesday 30 April 2014

NBA: MMILIKI WA LA CLIPPERS AFUNGIWA MAISHA


Donald Sterling amefungiwa maisha na NBA baada ya kujulikana kuwa yeye ni mbaguzi wa rangi...Sterling hatohusika na issue yoyote inayohusu NBA hata kuja kwenye game na mazoezi haruhusiwi na itabidi auze timu yake maana haitajiki tena...Amepigwa faini ya $2.5 milioni ambayo ni faini kubwa kuliko zote NBA...Na hiyo faini itaenda kwenye mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi...

Commissioner wa NBA, Adam Silver, amesema NBA haina nafasi kwa wabaguzi na ameshtushwa sana na huyu mpuuzi tena ni mmiliki wa timu...Magic Johnson amesema Adam Silver ameonyesha uongozi wa hali ya juu....Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment