Monday 21 April 2014

NBA PLAYOFFS: BLAZERS YASHINDA GAME 1

LaMarcus Aldridge 

Portland Trail Blazers iliweza kushinda game ngumu na kali dhidi ya Houston Rockets 122-120...Game ilikuwa kali sana mpaka mwisho maana timu zote zilikuwa moto balaa...Jina ambalo lilisikika sana usiku wa game ni LaMarcus Aldridge ambaye alikuwa anarusha na kuingiza tu...LaMarcus aliweka rekodi ya points ambapo alipata points 46...Points hizo ni mara ya kwanza yeye kama yeye ameweza kupata pia ni rekodi ya timu yake kipindi cha playoffs...Houston wangeweza sawazisha lakini Harden aligonga mwamba kabla kengele ya kumaliza game...Paya habari zaidi za hii game hapa...


No comments:

Post a Comment