Thursday 24 April 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: REAL MADRID YASHINDA GAME YA KWANZA


Real Madrid ilifanikiwa kushinda game ya kwanza na kuzuia Bayern wasipate goli la ugenini na asante ziende kwa Karim Benzema ambaye alipachika bao dakika ya 19...Bayern walikuwa wameshikilia sana mpira mpaka kuna wakati walifikia asilimia 80 ya possession kipindi cha kwanza...Bayern sasa wana mlima wa kupanda wakirudi nyumbani kwenye ungwe ya pili ya nusu fainali...Real walikosa magoli mazuri akiwemo pia Cristiano Ronaldo...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment