Monday 21 April 2014

F1: LEWIS HAMILTON ASHINDA TENA


Lewis Hamilton ametimiza ndoto yake ya kushinda mashindano ya Formula One mara tatu mfululizo na timu ya Mercedes...Hamilton alishinda Grand Prix ya China kwa kuwa makini toka mwanzo wa mashindano na kuongoza mpaka mwisho...Mercedes walipata ushindi huo ambao ulijumuisha nafasi mbili za kwanza...Aliyechukua afasi ya 3 ni Alonzo kutoka timu ya Ferrari...Mashindano haya ya China yalikuwa na ushindani mkubwa hasa kupigania nafasi ya 2 na ya 3...Sasa Mercedes wanaongoza kwenye kundi la timu za F1...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment