Arsene Wenger na timu yake ya Arsenal wanaingia uwanjani na timu ya Roberto Martinez, Everton, leo jioni katika mechi muhimu sana kwa timu zote mbili...Kuna wakati Everton ilikuwa ya 7 na Arsenal inaongoza ligi lakini Everton wamejitahidi sana na sasa wanapiga hodi nafasi ya 4...everton wako chini ya Arsenal kwa pointi 4 na game 1 nyuma...Msikose kucheki hii game kali leo saa 11 jioni...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 6 April 2014
EPL: WENGER VS. MARTINEZ LEO
Arsene Wenger na timu yake ya Arsenal wanaingia uwanjani na timu ya Roberto Martinez, Everton, leo jioni katika mechi muhimu sana kwa timu zote mbili...Kuna wakati Everton ilikuwa ya 7 na Arsenal inaongoza ligi lakini Everton wamejitahidi sana na sasa wanapiga hodi nafasi ya 4...everton wako chini ya Arsenal kwa pointi 4 na game 1 nyuma...Msikose kucheki hii game kali leo saa 11 jioni...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment