Tuesday 22 April 2014

EPL: DAVID MOYEZ ATIMULIWA


Habari tulizozipata muda huu hapa Max Sports ni kwamba Manchester United wamemtimua kocha wao David Moyez...Habari hizi ni njema kwa mashabiki na wadu wa timu ya Manchester United kwani msimu wao umekuwa ovyo mpaka inasemekana wanaongoza kutaniwa...Moyez amekaa kwenye kiti cha ukocha kwa miezi 10 tu...Alifukuzwa leo asubuhi na Ed Woodward ambae ni makamu mwenyekiti wa Mancherster United...Makocha Jimmy Lumsden na Steve Round pia wameondoka na kuacha nafasi zao wazi...Ryan Giggs atachukua uskani na kusimamia timu hiyo kwenye game inayokuja na Norwich City...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment