Barca watampoteza mchezaji wao mkali Neymar kwa wiki 4 kutokana na kuumia kidole cha 4 cha mguu wa kushoto...Club hiyo ilitoa habari hizo jana na pia walisema Jordi Alba nae ameumia mguu na atakuwa nje kwa muda mrefu...Hawa wachezaji watakosa mechi za mwishoni za ligi...Wachezaji hao watakuwa fit kwa World Cup ambayo itaanza June 12...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 18 April 2014
LA LIGA: NEYMAR NJE WIKI 4
Barca watampoteza mchezaji wao mkali Neymar kwa wiki 4 kutokana na kuumia kidole cha 4 cha mguu wa kushoto...Club hiyo ilitoa habari hizo jana na pia walisema Jordi Alba nae ameumia mguu na atakuwa nje kwa muda mrefu...Hawa wachezaji watakosa mechi za mwishoni za ligi...Wachezaji hao watakuwa fit kwa World Cup ambayo itaanza June 12...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment