Monday 21 April 2014

EPL: LIVERPOOL YAKARIBIA UBINGWA


Liverpool jana ilikaribia ubingwa baada ya kuichapa Norwich 2-3...Sasa Liverpool wako pointi 5 mbele na wameshindilia nafasi yao ya Champions League msimu ujao...Liverpool hawakupata unafuu kwani walikuwa wanaongoza 2-0 na Norwich wakacheza mpira safi na kuanza kurudisha magoli...Snodgrass aliweza kuingiza goli la kichwa na dakika kama 13 za mwisho zilikuwa mshike mshike wakati Norwich wakijaribu kubadilisha matokeo...Liverpool ikishinda Premiership itakuwa mara yao ya kwanza toka Premiership ianzishwe...Bofya upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment